Wakati fulani maisha yangu yalikuwa magumu kiasi kwamba nilihisi hakuna tumaini tena. Nilizaliwa katika familia maskini, tukiishi nyumba ya udongo na paa lililovuja kila mvua ikinyesha. Nilipokua, nilijaribu kila kazi ndogo nikauza maji, nikafanya kazi za mjengo, hata kuuza mitumba lakini haikutosha hata kununua chakula cha siku. Nilikuwa kijana aliyechoka, niliyeishi kwa matumaini ya siku moja kubadilisha maisha yangu, ingawa sikujua wapi pa kuanzia.
Watu walinizoea kama yule kijana asiye na maendeleo. Nilionekana duni kila mahali nilipokwenda. Nilikuwa na ndoto nyingi, lakini hali ya maisha ilinifanya nizipoteze moja baada ya nyingine. Nilipooa, mambo yakawa magumu zaidi. Niliona aibu kushindwa kumhudumia mke wangu na mtoto wetu mdogo. Kila siku nililala nikifikiria, “Nitabadilisha vipi maisha yangu?” Lakini kila jaribio nililofanya lilikuwa linaanguka.
Siku moja nikiwa nimekata tamaa kabisa, rafiki yangu wa zamani alinitembelea. Alikuwa mtu ambaye zamani tulikuwa tunateseka pamoja, lakini sasa alikuwa amefanikiwa. Alinunua shamba, akaanzisha biashara, na hata kununua gari. Nilimwangalia kwa mshangao nikamuuliza, “Umewezaje kufanya haya yote kwa muda mfupi hivi?” Alinitazama kwa tabasamu na kuniambia, “Nilikutana na Daktari Kashiririka, akanifungulia njia za mafanikio kupitia tiba za asili.” Soma zaidi hapa

Post a Comment