Stars yaifuata Congo kukipiga ijumaa hii


 Kikosi cha Timu ya Taifa 'Taifa Stars' kimeondoka nchini Alfajiri ya hii leo kwenda nchini Congo Brazzaville tayari kwa mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Congo Brazzaville.

Mchezo huo utapigwa Septemba 5, 2025 kwenye Uwanja wa Alphonse Massemba-Debat kuanzia saa 1:00 Usiku.

Stars ipo kundi E, ikishika nafasi ya pili ikiwa na pointi 9 katika mechi 5, ikiongozwa na Morocco yenye pointi 15, Zambia nafasi ya tatu pointi 6 sawa na Niger iliyopo nafasi ya 4 huku Congo Brazzaville ikishika mkia ikiwa na pointi 0 katika mechi tano ilizocheza.

Baada ya mchezo huo, Stars itarejea Tanzania kuumana na Niger katika mchezo utakaopigwa Jumanne Septemba 09 dimba la New Amaan Complex, Zanzibar

Usikose kutazama mechi zote za LIGI KUU TANZANIA BARA, MECHI ZA ULAYA, MASHINDANO YA CAF LIVE bure kupitia Simu yako download App yetu mapema itakayokuwezesha kuzitazama mechi hizi live bure pia ndani ya App yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure bonyeza  HAPA  au Bonyeza HApa   Au hapa pia kudownload app kumbuka app bado hatujaiweka playstore hivo utaidownload kama Apk ikileta neno harmful usiogope ukisha download App utaweza kuona chanel hivi👇🏻👇🏻

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post