Klabu ya Simba imetambulisha usajili wa mlinda lango namba moja wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' Yacoub Suleiman akitokea klabu ya JKT Tanzania
Yacoub amesaini mkataba wa miaka mitatu kuwatumikia Wekundu hao wa Msimbazi
Lilikuwa ni suala la muda Simba kuthibitisha usajili wake baada ya kufikia makubaliano na JKT Tanzania
Yacoub alikuwa nguzo muhimu ya kikosi cha JKT Tanzania msimu uliopita akiondoka na cleansheet nane na kuisaidia JKT Tanzania kumaliza katika nafasi ya sita
Ametua Msimbazi kumpa changamoto Moussa Camara, aliyeibuka mlinda lango bora msimu uliopita akikusanya cleansheet 19
Usikose kutazama mechi zote za LIGI KUU TANZANIA BARA, MECHI ZA ULAYA, MASHINDANO YA CAF LIVE bure kupitia Simu yako download App yetu mapema itakayokuwezesha kuzitazama mechi hizi live bure pia ndani ya App yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure bonyeza HAPA au Bonyeza HApa Au hapa pia kudownload app kumbuka app bado hatujaiweka playstore hivo utaidownload kama Apk ikileta neno harmful usiogope ukisha download App utaweza kuona chanel hivi👇🏻👇🏻

Post a Comment