Nilikua nimeolewa na mwanaume ambaye nilimpenda kwa moyo wangu wote. Nilikuwa tayari kuvumilia shida na changamoto za ndoa kwa sababu nilimwamini na nilijua tulikusudiwa kuwa pamoja. Lakini miaka ilivyopita, mambo yakabadilika.
pendo wake ulibadilika kuwa ukatili. Kila mara tulipopishana kidogo, mkono wake ndio ulikuwa majibu. Nilijikuta nikilia kila usiku, lakini moyo wangu ulikataa kabisa kumwacha. Nilimpenda zaidi ya maumivu niliyopitia.
Majirani na marafiki walinipa ushauri kwamba niondoke. Waliniambia maisha yangu yalikuwa hatarini na ningejipoteza bure. Lakini nilijua ndani ya moyo wangu sitaki kumuacha. Soma zaidi hapa

Post a Comment