Nilikuwa Najificha Gizani Kwa Aibu, Lakini Sasa Najivunia Maisha Yangu


Nilikuwa nimechoka na aibu niliyoibeba kila siku. Baada ya kujifungua watoto wawili, nilianza kuhisi mabadiliko katika mwili wangu ambayo yalinifanya nisiwe na amani. Kule kwa bibi nilihisi ukavu na haina hamasa. Nilipojaribu kuwa karibu na mume wangu niliona amevunjika moyo, mara nyingine akitoa visingizio vya kulala mapema. Nilihisi kama ndoa yangu inateleza na nilikuwa najilaumu kwa sababu ya mwili wangu.

Usiku nilijikuta nikilia peke yangu. Nilihisi nimekauka sio tu kimwili bali hata kiakili. Wakati mwingine nilikuwa naogopa hata kuvaa nguo fulani kwa sababu nilihisi sina mvuto tena. Aibu ilinifanya nijitenge na marafiki na hata mume wangu akaanza kuniona mkaidi.

Nilijaribu kutumia mafuta ya dukani na dawa mbalimbali nilizoambiwa na marafiki, lakini hazikusaidia. Badala ya kuona mabadiliko nilipata muwasho na maumivu. Nilijua lazima kuwe na njia bora zaidi ya kurudisha hali yangu ya zamani. Soma zaidi hapa 

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post