Rasmi klabu ya Yanga leo imetambulisha usajili wa beki wa kati Frank Assinki aliyetua kutoka klabu ya Singida Black Stars
Assinki alitua Dar jana na moja kwa moja kuelekea Avic Town baada ya kumalizana na mabosi wa Yanga
Beki huyo raia wa Ghana anachukua nafasi ya Yao Kouassi ambaye anaendelea kuimarika baada ya kufanyiwa upasuaji wa goti
Assinki anakwenda kuimarisha safu ya ulinzi ya Yanga akiungana na mabeki wengine wa kati Dickson Job, Ibrahim Hamad na Bakari Mwamnyeto. Yanga haina masihara na safu yake ya ulinzi...!
Usikose kuitazama mechi za michuano ya CHAN na LIGI KUU TANZANIA BARA, MECHI ZA ULAYA LIVE bure kupitia Simu yako download App yetu mapema itakayokuwezesha kuzitazama mechi hizi live bure pia ndani ya App yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure bonyeza HAPA au HAPA kudownload app kumbuka app bado hatujaiweka playstore hivo utaidownload kama Apk ikileta neno harmful usiogope.

Post a Comment