Viingilio wiki ya Mwananchi 2025


 Septemba 12 ni sikukuu kwa Wanachama na Mashabiki wa Yanga kwani lile Tamasha kubwa zaidi la burudani WIKI YA MWANANCHI litafanyika pale uwanja wa Benjamin Mkapa

Tayari Yanga imethibitisha Bandari Fc kutoka Kenya imealikwa 'kunogesha' Tamasha hilo ambalo litatumika kutambulisha kikosi cha Yanga msimu huu

Mapema tu, viingilio kuelekea vya Tamasha hilo vimeweka wazi ambapo Wananchi wanaweza kuanza kununua tiketi zao kupitia mitandao ya simu

ROYAL VVIP : 600,000/-

ROYAL VIP : 300,000/-

VIP A : 50,000/-

VIP C : 15,000/-

VIP B : 30,000/-

ORANGE : 10,000/-

MZUNGUUKO : 5,000/-

Usikose kutazama mechi zote za LIGI KUU TANZANIA BARA, MECHI ZA ULAYA, MASHINDANO YA CAF LIVE bure kupitia Simu yako download App yetu mapema itakayokuwezesha kuzitazama mechi hizi live bure pia ndani ya App yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure bonyeza HAPA au HAPA kudownload app kumbuka app bado hatujaiweka playstore hivo utaidownload kama Apk ikileta neno harmful usiogope.

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post