Ratiba ya mechi 5 za Simba itakakayo anza nazo

 RATIBA ya Mechi za Simba SC 2025/2026

Bodi ya ligi (TPLB) leo imetangaza ratiba ya ligi kuu ya NBC 2025/26 inayotarajiwa kuanza Septemba 17

Hata hivyo kutokana na ushiriki wa Simba katika michuano ya ligi ya mabingwa, Mnyama atasubiri hadi Septemba 25 kucheza mechi ya kwanza dhidi ya Fountain Gate

Msimu huu Simba itaendelea kucheza mechi zake katika uwanja wa KMC Complex kama walivyofanya msimu uliopita

Hizi hapa mechi tano za mwanzo;

Fountain Gate (Sept 25) - KMC Complex

Namungo (Oct 1) - KMC Complex

Tabora United (Oct 30) - Ali Hassan Mwinyi

Azam Fc (Nov 2) - Benjamin Mkapa

JKT Tanzania (Nov 5) - Isamuhyo

Mtanange wa kwanza dhidi ya Yanga kwenye ligi utapigwa Disemba 13 katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Usikose kutazama mechi zote za LIGI KUU TANZANIA BARA, MECHI ZA ULAYA, MASHINDANO YA CAF LIVE bure kupitia Simu yako download App yetu mapema itakayokuwezesha kuzitazama mechi hizi live bure pia ndani ya App yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure bonyeza HAPA au HAPA kudownload app kumbuka app bado hatujaiweka playstore hivo utaidownload kama Apk ikileta neno harmful usiogope.

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post