Mzize huyooo kutimkia Qatar baada ya CHAN
Download App ya Nijuze Tv kutazama mechi za ligi kuu Nbc bure, Epl, Laliga, Bundesliga, Seria A, Caf na nyinginezo pia app hii ina chanel za Azam tv na Dstv utaweza kuzitazama bure
Klabu ya Yanga imeridhia kumruhusu mshambuliaji wake Clement Mzize ajiunge na Al-Sadd SC ya Qatar, imefahamika
Al-Sadd SC wamewasilisha ofa rasmi kwa Yanga kwa ajili ya Mzize inayokadiriwa kufika Tsh Bilioni 2.2
Yanga imeiruhusu Al-Sadd SC kumalizana na Mzize upande wa maslahi binafsi kabla ya kukamilisha mchakato wa usajili
Kuna uwezekano mkubwa Mzize ataelekea Qatar kujiunga na klabu hiyo baada ya kumalizika kwa michuano ya CHAN iliyoanza juzi Jumamosi
Aidha, Kwa usajili ambayo Yanga imefanya katika dirisha hili, ni kama ilikuwa imejipanga endapo Mzize ataondoka
Katika safu ya ushambuliaji Yanga imewaongeza Andy Boyeli na Ecua Celestin ambaye anaweza kutumika kama mshambuliaji wa kati au winga
Usikose kuitazama mechi za michuano ya CHAN na LIGI KUU TANZANIA BARA, MECHI ZA ULAYA LIVE bure kupitia Simu yako download App yetu itakayokuwezesha kuzitazama mechi hizi live bure pia ndani ya App yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure bonyeza HAPA kudownload app

Post a Comment