Matokeo ya mechi ya kirafiki Simba vs FS Fassel leo


 Simba leo imehitimisha pre-season katika mji wa Cairo ikilazimiahwa sare ya bao 1-1 dhidi ya FS Fassel ya Liberia katika mchezo wa kirafiki

Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids leo alibadili kikosi akiwapa nafasi wachezaji ambao hawakutumika mchezo wa jana

Bao la Simba lilifungwa na Jonathan Sowah katika kipindi cha kwanza akimalizia pasi ya Steven Mukwala

Huo ulikuwa mchezo wa tano wa kirafiki kwa Simba ikishinda mechi nne na kupoteza mchezo mmoja

Simba ilianzia pre-season mji wa Ismailia kabla ya kuelekea Cairo walikohitimisha leo

Wekundu hao wa Msimbazi wanatarajiwa kurejea jijini Dar es salaam siku ya Alhamisi

Usikose kutazama mechi zote za LIGI KUU TANZANIA BARA, MECHI ZA ULAYA, MASHINDANO YA CAF LIVE bure kupitia Simu yako download App yetu mapema itakayokuwezesha kuzitazama mechi hizi live bure pia ndani ya App yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure bonyeza HAPA au HAPA kudownload app kumbuka app bado hatujaiweka playstore hivo utaidownload kama Apk ikileta neno harmful usiogope.

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post