Burudani inarejea! Ndivyo unavyoweza kusema Ijumaa hii katika dimba la Amahoro kule Rwanda Yanga itakapomenyana na Rayon Sports
Ni katika mchezo wa kuadhimisha Rayon Day, tamasha la kukaribisha msimu kwa klabu hiyo
Yanga inatarajiwa kuondoka nchini kesho Jumatano kuelekea Rwanda tayari kwa mchezo huo
Kwa mara ya kwanza, nyota wapya walioongezwa katika kikosi cha Yanga watashuhudiwa pale Rwanda
Usikose kuitazama mechi hii live pia michuano ya CHAN na LIGI KUU TANZANIA BARA, MECHI ZA ULAYA LIVE bure kupitia Simu yako download App yetu itakayokuwezesha kuzitazama mechi hizi live bure pia ndani ya App yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure bonyeza HAPA kudownload app ikileta neno its harmful usiogop ni kwasababu bado hatujaiweka playstore ni APK

Post a Comment