Mohammed Hussein 'Zimbwe Jr' awaaga mashabiki wa Simba


 Aliyekuwa nahodha wa klabu ya Simba Mohammed Hussein 'Zimbwe Jr' amewaaga waajiri wake hao wa zamani ambao amewatumikia kwa miaka 11

Zimbwe Jr aliyetua nchini leo na kikosi cha Stars akitokea Misri ambako Stars iliweka kambi ya maandalizi ya CHAN 2024, amekamilisha taratibu za kujiunga na Yanga taarifa za ndani zikibainisha kuwa amesaini mkataba wa miaka miwili


Huna sababu ya kukosa kutazama michuano ya CHAN LIVE kupitia Simu yako

Michuano hii itaanza Agosti 02, kwa mechi ya ufunguzi kuchezwa katika dimba la Benjamin Mkapa kwa wenyeji Taifa Stars kucheza dhidi ya Burkina Faso.

Usikose kuitazama michuano hii LIVE  bure kupitia simu yako  download App hii mapema inayorusha mechi zote live bure pia ukiwa na App yetu utaweza kutazama chanel zote za Azam Tv na DSTV live bure mfano Azam sport 1, Azam Two, Sinema zetu na nyingine nyingi pia App bado hatujaiweka playstore hivo italeta neno This file might be harmful usiogope


0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post