Israel Mwenda apewa miaka 3 kuendelea kubaki Jangwani


 Beki wa kulia wa Yanga Israel Mwenda amesaini mkataba wa miaka mitatu kuendelea kuwatumikia mabingwa hao wa soka Tanzania Bara, imefahamika

Awali Mwenda alikuwa akiitumikia Yanga kwa mkopo ambao umemalizika mwishoni mwa msimu uliopita

Hatimaye Yanga imemsajili moja kwa moja kwa kumpa mkataba wa miaka mitatu

Kazi nzuri aliyofanya ndani ya muda mfupi, imewashawishi mabosi wa Yanga kumpa mkataba wa muda mrefu

Sasa ataendelea kusaidiana na Kibwana Shomari upande wa kulia wakati Yao Kouassi akiendelea kuimarika

Usikose kuitazama mechi ya LIVERPOOL VS YOKOHAMA live bure kupitia Simu yako download App yetu itakayokuwezesha kuitazama mechi hii live bure pia ndani ya App yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure Bonyeza hapa kudownload

Au

Bonyeza hapa pia kudownload App bure

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post