Debora Mavambo awaaga mashabiki wa Simba



Kiungo Deborah Fernandez amewaaga mashabiki wa Simba baada ya kuwatumikia Wekundu hao wa Msimbazi kwa msimu mmoja

Fernandez anaondoka Simba baada ya kufikia makubaliano ya pande mbili kusitisha mkataba wake wa mwaka mmoja uliokuwa umebaki

Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, Deborah ameandika ujumbe wa shukrani na kuwaaga Wanamsimbazi

"Kuanzia mwanzo nikiwa mchezaji mchanga hadi nyakati za ushindi uwanjani, nilipata uzoefu wa kipekee uliyonijenga kama mtu na kama mchezaji wa mpira wa miguu"

"Nitayakosa mazoezi, mechi na nyakati nilizoshiriki na wachezaji wenzangu, lakini nina hamasa kwa ajili ya changamoto mpya zinazonisubiri"

"Shukrani kubwa kwa familia ya Simba kwa msaada wao katika kipindi chote nilichokuwa ndani ya klabu hii. Hakika nitakumbuka klabu hii, pamoja na mashabiki wote na viongozi wa Simba Sports Club Tanzania," aliandika Fernandez

Huna sababu ya kukosa kutazama michuano ya CHAN LIVE kupitia Simu yako

Michuano hii itaanza Agosti 02, kwa mechi ya ufunguzi kuchezwa katika dimba la Benjamin Mkapa kwa wenyeji Taifa Stars kucheza dhidi ya Burkina Faso.

Usikose kuitazama michuano hii LIVE  bure kupitia simu yako  download App hii mapema inayorusha mechi zote live bure pia ukiwa na App yetu utaweza kutazama chanel zote za Azam Tv na DSTV live bure mfano Azam sport 1, Azam Two, Sinema zetu na nyingine nyingi pia App bado hatujaiweka playstore hivo italeta neno This file might be harmful usiogope


0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post