Kiungo wa Yanga Khalid Aucho
huenda asiwe sehemu ya kikosi
cha mabingwa hao wa kihistoria
msimu ujao baada ya
majadiliano ya kuhuisha mkataba
wake kutofikia mwafaka,
imefahamika
huenda asiwe sehemu ya kikosi
cha mabingwa hao wa kihistoria
msimu ujao baada ya
majadiliano ya kuhuisha mkataba
wake kutofikia mwafaka,
imefahamika
Yanga ilikuwa tayari kumpa
Aucho mkataba wa mwaka
mmoja lakini kiungo huyo
hayuko tayari kuongeza mwaka
mmoja, akihitaji mkataba wa
miaka miwili
Mtu wa karibu wa Aucho ambaye
ni mwanahabari, amesema
Aucho huenda akaelekea
Vietnam alikopata ofa nono zaidi
"Baada ya kikao cha wiki nzima,
mimi kama Mwanahabari
niliyekuwa na nafasi ya
kuyaongea kutoka kwake na
uongozi wa Yanga, rasmi Aucho
hatokuwa na Yanga"
"Aucho anaweza kwenda
Vietnam, kuna klabu ya Ligi Kuu
ya huko imemuhitaji, naweza
kusema Aucho hatakuwepo
nchini msimu ujao," alisema
Awali Yanga ilikuwa na
makubaliano na Aucho
kumuongeza mkataba wa mwaka
mmoja lakini huenda fundi huyo
kutoka Jinja akawa amebadili
mawazo baada ya kushawishiwa
na ofa kutoka nje
Katika eneo analocheza Aucho,
Yanga tayari imemsajili kiungo
Mohamed Doumbia huku pia
ikihusishwa kukamilisha usajili
wa kiungo kutoka CS Sfaxien
Moussa Balla Conte
Huna sababu ya kukosa kutazama michuano ya CHAN LIVE kupitia Simu yakoMichuano hii itaanza Agosti 02, kwa mechi ya ufunguzi kuchezwa katika dimba la Benjamin Mkapa kwa wenyeji Taifa Stars kucheza dhidi ya Burkina Faso.
Usikose kuitazama michuano hii LIVE bure kupitia simu yako download App hii mapema inayorusha mechi zote live bure pia ukiwa na App yetu utaweza kutazama chanel zote za Azam Tv na DSTV live bure mfano Azam sport 1, Azam Two, Sinema zetu na nyingine nyingi pia App bado hatujaiweka playstore hivo italeta neno This file might be harmful usiogope
Au hapa chini
Kudownload Bonyeza hapa ili kudownload App
Au
AU BONYEZA HAPA PIA KUDOWNLOAD
Au hapa chini pia


Post a Comment