Penzi la Halima na Joseph lilianza kwa kishindo. Waliishi pamoja kwa miaka mitano wakifurahia maisha ya ndoa. Walibarikiwa na watoto wawili, na maisha yao yalionekana kuwa na msingi imara wa upendo.
Lakini baada ya muda mambo yalianza kubadilika. Joseph alianza kuchelewa kurudi nyumbani. Mawasiliano kati yao yalipungua. Halima alihisi kuna kitu hakiko sawa... SOMA ZAIDI HAPA
Post a Comment