Simba yapigwa Rungu na Bodi ya ligi

 

Vurugu za mashabiki wa Simba zilizojiri dimba la KMC Complex katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya Singida Black Stars, zimeiponza Simba baada ya kupigwa faini ya Tsh Milioni 5 na Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa ligi ya Bodi ya Ligi Kuu

Aidha Kamati hiyo pia imemfungia mechi tatu kocha wa viungo wa Simba Riedoh Berdien na kutozwa faini ya Tsh Milioni 1 kwa kocha la kuanzisha vurugu katika mchezo huo

Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids nae amepigwa faini ya Tsh Milioni 2 kwa kosa la kuishutumu Bodi ya Ligi

Usikose kuitazama mechi hii ya AFRIKA KUSINI vs TANZANIA LIVE  bure kupitia simu yako  download App hii mapema inayorusha mechi zote live bure pia ukiwa na App yetu utaweza kutazama chanel zote za Azam Tv na DSTV live bure mfano Azam sport 1, Azam Two, Sinema zetu na nyingine nyingi pia App bado hatujaiweka playstore hivo italeta neno This file might be harmful usiogope

 Bonyeza hapa kudownload

Au hapa chini

Kudownload  Bonyeza hapa ili kudownload App

Au

AU BONYEZA HAPA PIA KUDOWNLOAD

Au hapa chini pia


App bado hatujaiweka playstore hivo utaidownload kama APK kisha uta Install kawaida tu na uendelee kufurahia chanel za Azam na Dstv bureee ( ikileta neno its harmful usiogope ni kwasababu haijawekwa playstore)

  1. Wezesha “Unknown Sources” kwenye setting ya Simu yako. Nenda kwenye “Settings” > “Security” au “Privacy“.
Bonyeza Download anyway

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post