Kwa muda mrefu, nilikuwa nikijitahidi kuficha hali yangu halisi mbele ya mume wangu. Tulipooana, maisha ya ndoa yalikuwa mazuri mapenzi yalikuwa motomoto, na kila kitu kilionekana kuenda sawa.
Lakini miaka ilivyozidi kusonga, nilianza kupoteza hamu kabisa ya tendo la ndoa. Sikuwa nahisi mvuto wowote hata mume wangu aliponigusa au kunilainisha kwa maneno matamu. Nilijua hilo linamuumiza, lakini sikuwa na cha kufanya. Soma zaidi hapa.
Post a Comment