Kuna wakati nilijua kabisa kuwa mapenzi yetu yamefikia mwisho. Nilikuwa nimeshindwa kulala, kula, hata kufanya kazi vizuri kazini. Alikuwa kila kitu kwangu. Tulikuwa tumefika mbali, lakini ghafla akaanza kubadilika. Simu haita, meseji hajibu, na hata nikimfuata, anakwepa tu bila sababu za kueleweka. Iliniuma sana kwa sababu nilijua kabisa kuwa hatukugombana kwa kiwango cha kutengana.
Nilijaribu kila kitu. Nilizungumza na rafiki zake, nikaandika meseji ndefu za maelezo, nikaomba msamaha hata kwa makosa ambayo sikuwa nimefanya. Soma zaidi hapa.
Post a Comment