Kuna uchungu ambao si rahisi kuueleza kwa maneno. Uchungu wa kuishi miaka mingi ukitamani mtoto, kila mwezi ukitumaini kupata ujauzito, kisha mzunguko wa hedhi unakuja kama kawaida, na moyo unavunjika tena na tena. Nimepitia hayo kwa zaidi ya miaka saba. Mimi na mume wangu tulijaribu kila kitu.
Tulitembelea hospitali tofauti, tukafanya vipimo, tukafuata mashauri ya madaktari. Hakukuwa na tatizo la kiafya lililojitokeza, lakini ujauzito haukutokea. Soma zaidi hapa.
Post a Comment