Sikuwahi kufikiria kwamba siku moja ningeamka na kukuta harusi yangu imevunjwa, bila onyo, bila maelezo, na bila hata huruma. Ilikuwa ni siku moja tu kabla ya tukio nililokuwa nikilisubiri maisha yangu yote.
Gauni langu la harusi tayari lilining’inia chumbani, wageni walikuwa wameshawasili, na kila kitu kilikuwa tayari isipokuwa bwana harusi. Asubuhi ya siku hiyo, nilipokea ujumbe mfupi kutoka kwake: “Samahani, siwezi kuendelea na hili. Tafadhali nisamehe.” Soma zaidi hapa.
Post a Comment