Sikuwa na jambo jingine la kufanya ila kuendelea na biashara ile kwani nilikuwa na imani kwamba mambo yangebadilika. Ama kwa hakika mambo hayakuwa mazuri upande wetu kibiashara.
Mara mingi nilikuwa nikimshauri mume wangu tufunge biashara ile na kufungua nyingine ambayo ingeleta faida hata zaidi lakini mume wangu aliona wazo langu kama potovu na liliso na msingi wowote... SOMA ZAIDI HAPA
Post a Comment