Sikuwahi kuamini sana mambo ya nyota wala utabiri wa maisha. Nilikuwa mmoja wa wale watu wanaoamini kila kitu kinachoendelea maishani ni kwa sababu ya juhudi na mipango. Lakini kilichonitokea mwaka jana kilibadilisha kabisa mtazamo wangu kuhusu maisha, hatima, na kile wanachokiita “nguvu za kiroho.”
Siku hiyo ilikuwa ya kawaida kama nyingine. Nilikuwa nimepanga kusafiri kutoka Arusha kwenda Dodoma kwa shughuli ya kikazi. Nilikuwa tayari nimefanya booking ya basi, na hata nilikuwa nimepakia kila kitu.... SOMA ZAIDI HAPA
Post a Comment