Kulingana jina ambalo nilikuwa nimeshalitengeneza nilikuwa na uwakika wa kuuza Tsh. 800,000 kwa siku kutokana na idadi kubwa ya wateja ambao nilikuwa nao.
Ilinibidi nivumilie na kuongeza jitiada katika biashara yangu ya duka pamoja na kulipa kampuni tofauti kwa ajili ya kupata walinzi dukani kwangu. Soma zaidi hapa.
Post a Comment