Nilizaliwa katika familia ambayo historia yake ilikuwa ya huzuni. Babu yangu alikufa akiwa na miaka 39. Baba yangu naye alikufa akiwa na miaka 38 tu kwa ugonjwa wa ghafla.
Wajomba zangu wawili walifariki mmoja baada ya mwingine, wote wakiwa chini ya miaka 40. Nilipokuwa mdogo, nilidhani ni bahati mbaya au matatizo ya kiafya. Lakini kadri nilivyokuwa nikikua, nilianza kuelewa kuwa kuna jambo lisilo la kawaida liliikumba familia yetu...SOMA ZAIDI HAPA
Post a Comment