Katika jamii nyingi za Kiafrika, uzazi si tu hitaji la kibinadamu bali pia ni alama ya heshima, furaha ya familia na uthibitisho wa ndoa imara. Hata hivyo, changamoto ya kutopata mimba imeendelea kuwasumbua wanawake wengi.
Mara nyingine husababisha msongo wa mawazo, migogoro ya ndoa na hata kunyanyapaliwa na jamii. Wakati tiba za kisasa hujaribu kutoa suluhisho, mitishamba ya asili imeendelea kuwa mbadala muhimu na wa kuaminika kwa wanawake wanaotafuta ujauzito. SOMA ZAIDI HAPA
Post a Comment