Sikuwahi kufikiria maisha yangu yangepinduka ghafla, kuenda mahakama na kunifanya kuwa habari kuu kwenye vyombo vya habari. Sikuwa na jina kubwa, wala sikujihusisha na siasa au mamilioni.
Nilikuwa mfanyakazi wa kawaida katika kampuni ya usambazaji wa vifaa vya ujenzi, nikihudumu kama mhasibu kwa zaidi ya miaka saba. Kazi yangu ilikuwa ya heshima, na nilijitahidi kila siku kuhakikisha hesabu zote ziko sawa..... SOMA ZAIDI HAPA
Post a Comment