Nilikua kijana wa kawaida tu kutoka Musoma, nikiishi maisha ya kujitahidi siku kwa siku. Nilikuwa najiingizia pesa kidogo kwa kuuza vifaa vya simu barabarani, huku ndoto zangu kubwa zikiwa zimefungwa ndani ya kichwa changu tu. Sikuwa na mtaji wa kuanzisha biashara kubwa, lakini ndani yangu kulikuwa na kiu ya mafanikio ambayo iliniuma kila siku.
Nilianza kubeti kama njia ya kutafuta pesa ya haraka. Wengi waliniambia ni kupoteza muda na hela, lakini kwa vile nilikuwa ninafuatilia soka kwa karibu, hasa ligi za Ulaya, niliona ni kama nina faida fulani. Kwa miezi mingi nilibeti na kushinda vijisenti, mara nyingi nilipoteza tu. Lakini siku moja, maisha yangu yalibadilika kabisa.... SOMA ZAIDI HAPA
Post a Comment