Nilipokuwa mdogo, nilikuwa na ndoto ya kuolewa na mwanamume mwenye huruma, anayejali, anayesikiliza na kunipa heshima kama mke. Lakini kadri nilivyokua, niliingia kwenye uhusiano ambao ulivunja kabisa ndoto zangu.
Nikiwa na umri wa miaka 23, nilipenda kwa moyo wangu wote, nikajitoa kwa mwanaume ambaye nilidhani ni mpenzi wa maisha yangu. Tulikaa naye kwa miaka miwili, lakini kwa kipindi chote hicho nilijikuta nikilia kila siku..... SOMA ZAIDI HAPA
Post a Comment