Hivi karibuni Askofu mmoja amezua mjadala mkali kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuwatambulisha wake zake watatu hadharani na kudai ameruhusiwa ndoa ya wake wengi kitu ambacho ni kinyume na taratibu za imani yake.
Mchungaji Sam Mwangi, anayeongoza kanisa la Faithful Gospel Church, alisema alioa mke wake wa kwanza mwaka 1996, mke wake wa pili mwaka 2004, na mke wa tatu mwaka 2018.
Alisema ana watoto 11 na wake zake watatu na anawapenda kwa usawa bila ubaguzi wowote kama ambavyo sehemu kubwa ya jamii ya Kiafrika imekuwa akifikiria.
Mchungaji Mwangi...SOMA ZAIDI
Post a Comment