Taarifa Mpya kutoka Yanga muda huu

 

Wachezaji wa Yanga wamepewa mapumziko ya wiki moja kabla ya kurejea kwa ajili ya maandalizi ya mechi za kuhitimisha msimu

Kulingana na ratiba, Yanga itarudi tena uwanjani Juni 18 katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya Tanzania Prisons ambao utapigwa uwanja wa Sokoine, Mbeya

Baada ya mchezo huo Yanga itarejea Dar kwa ajili ya mechi mbili za kuhitimisha msimu

Juni 22 itakamilisha mechi ya mwisho ya ligi kuu dhidi ya Dodoma Jiji uwanja wa KMC Complex na kisha mechi ya fainali kombe la CRDB dhidi ya mshindi wa mchezo wa nusu fainali kati ya Simba dhidi ya Singida BS

Huenda mchezo huo wa fainali ukapigwa uwanja wa Benjamin Mkapa mwishoni mwa Juni

Wachezaji walioitwa kwa ajili ya majukumu ya timu za Taifa watajiunga na mataifa yao wakati wengine wakitarajiwa kurejea kambini Juni 1

Usikose kuitazama mechi hii ya  SIMBA SC vs BERKANE LIVE  bure kupitia simu yako  download App hii mapema inayorusha mechi zote live bure pia ukiwa na App yetu utaweza kutazama chanel zote za Azam Tv na DSTV live bure mfano Azam sport 1, Azam Two, Sinema zetu na nyingine nyingi pia App bado hatujaiweka playstore hivo italeta neno This file might be harmful usiogope

 Bonyeza hapa kudownload

Au hapa chini

Kudownload  Bonyeza hapa ili kudownload App

Au

AU BONYEZA HAPA PIA KUDOWNLOAD

Au hapa chini pia


App bado hatujaiweka playstore hivo utaidownload kama APK kisha uta Install kawaida tu na uendelee kufurahia chanel za Azam na Dstv bureee ( ikileta neno its harmful usiogope ni kwasababu haijawekwa playstore)

  1. Wezesha “Unknown Sources” kwenye setting ya Simu yako. Nenda kwenye “Settings” > “Security” au “Privacy“.
Bonyeza Download anyway



0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post