Jina langu ni Lily kutokea Mombasa, nakumbuka takribani miezi minane iliyopita, nilianza kupata maumivu yasiyo ya kawaida kwenye titi langu la upande wa kulia.
Maumivu yalikuwa makali sana hadi kupelekea mara nyingi kulazimika kuomba likizo kazini kwangu ili nipumzike nyumbani. Hapo nilikuwa na umri wa miaka 27 tu na bado sijaolewa. Hivyo, nilihangaikia sana afya yangu katika umri mdogo.
Hali hiyo ilianza wakati naoga siku moja, niliona kifua changu kumelegea kuliko kawaida na nilihisi uzito usio wa kawaida kama kulikuwa na mawe makubwa ndani.
Nikiwa na wasiwasi, nilitafuta....SOMA ZAIDI
Post a Comment