Nilikuwa Sina Hamu Kabisa, Leo Mke Wangu Haamini Ndio Mimi

 Kwa miaka miwili mfululizo, ndoa yangu ilikuwa inaning’inia kwenye uzi mwembamba. Sikuwa na hamu ya ndoa kabisa. Mke wangu alianza kujiona hana mvuto tena, na mimi kila siku nilikuwa na sababu mpya za kuepuka kuwa karibu naye.

Kila usiku, nilijifanya nimechoka, nina kazi nyingi, au mara homa za ghafla tu zisizoisha. Ilifika mahali hadi mke wangu akaanza kulala chumba cha watoto, akisema wazi kabisa, “Hii si ndoa niliyotarajia.”

Nilijua kulikuwa na shida, lakini nilikuwa na aibu sana hata kumwambia rafiki au kwenda hospitali kuulizia kuhusu nguvu za kiume. Nilijitia moyo kwa muda mrefu kwamba labda ni msongo wa kazi, au labda ni hali ya kawaida ya kupita.

Lakini haikupita. Kila siku ilikuwa ni kama mzigo mpya....SOMA ZAIDI

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post