Nilikuwa mrembo wa kawaida, mwenye ndoto za kawaida kama msichana mwingine yeyote: kupata kazi nzuri mjini, kuolewa na mtu anayenipenda kweli, na kuanzisha familia yenye furaha. Lakini maisha yaligeuka kuwa hadithi ya maumivu.
Kila mwanaume niliyempenda kwa moyo wangu wote, alinigeuka. Wengine waliniacha ghafla, wengine walinidanganya hadharani, na wapo waliokuja tu kunitumia kisha kunitupa kama si kitu. Ilifika wakati niliamini labda kuna kitu kibaya ndani yangu au laana flani imenikumba.
Nakumbuka nilivyopenda sana Jamaal, mvulana wa benki aliyekuwa ananionesha upendo....SOMA ZAIDI
Post a Comment