“Hizi fedha nyingi ambazo nimekuwa nazipata naweka benki”

 


Nilikuwa nauza hadi usiku wa saa nne na kuamua mwenyewe kwenda kulala kutokana na uchovu wa siku, kwa jinsi biashara ilivyokuwa inatoka niliweza kufanya mambo mengi ya kimaendeleo ikiwemo kumjengea bibi kijijini, nimenunua bajaji zangu mbili ambazo nimekodishia vijana wafanye nazo kazi

Kwa sasa nimeweza kupanga nyumba nzuri yenye kila kitu ndani na ninajiona mbali sana kimaisha kwa fedha ambazo nimekuwa nikiingiza kila siku ambazo kwa sasa naziweka Benki. ... SOMA ZAIDI HAPA 

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post