Alipotea Nikiwa na Miaka Miwili Nilimrejesha Nyumbani Miaka 18 Baadaye kwa Njia Isiyo ya Kawaida

 ...

Nilikuwa na miaka miwili tu wakati baba yangu alipotoweka. Mama yangu alisema alitoka asubuhi kwenda kazini na hakurudi tena. Ilikuwa vigumu kwangu kuelewa kilichotokea kwa kuwa nilikuwa mdogo sana, lakini kadri nilivyokua, maswali yalianza kujitokeza.

Niliishi maisha ya utotoni nikimuona mama yangu akihangaika kutulea, lakini kila nilipomuuliza kuhusu baba, alinikwepa au kulia kimya kimya.

Wakati nilifikisha umri wa miaka 10, nilianza kuhisi pengo kubwa la kutokuwa na baba. Niliona wenzangu wakienda shuleni wakiandamana na baba....SOMA ZAIDI

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post