Kama msichana mwingine yeyote, nilikua nikitamani siku moja kuvaa shela jeupe na kuingia katika ndoa ya ndoto zangu. Nilipokutana na Patrick, nilihisi ndoto hiyo iko karibu kutimia. Alikuwa mchangamfu, mwenye mapenzi, na kila dalili ya kuwa mwanaume wa ndoto zangu.

Mahusiano yetu yalizidi kukomaa, na baada ya mwaka mmoja, alinipiga magoti mbele ya watu wengi na kunipatia pete ya uchumba. Nilikuwa na furaha isiyoelezeka. Miezi michache baada ya uchumba, tulianza kupanga harusi yetu.
Tulitembelea kumbi, tukachagua rangi za harusi, na hata tukatuma kadi za mwaliko. Wazazi wetu walikutana na kupanga mahari. Kila kitu kilionekana...SOMA ZAIDI
Post a Comment