Yanga wamalizana na Prince Dube, Aziz Ki afichua hilo - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga wamalizana na Prince Dube, Aziz Ki afichua hilo

 

Leo ndio leo ni ZAMBIA vs TANZANIA usikose kuitazama mechi hii live kabisa bure kwenye simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayorusha mechi hii live buree pia ndani ya app hii kuna muvi zilizo tafsiriwa kwa kiswahili na chanel za azam tv na Dstv bofya sasa kuidownload bure

Baada ya kuibuka mfungaji bora wa Ligi Kuu ya NBC msimu huu, kiungo mshambuliaji wa Yanga Stephane Aziz Ki amesema hatarajii kushinda tuzo hiyo msimu ujao kwani kazi yake itakuwa kuhakikisha anawatengenezea nafasi washambuliaji waliosajiliwa

Aidha, kauli hiyo ya Ki ambayo aliitoa wakati akifanya mahojiano ya 'live' katika mtandao wa Instagram, imewapa uhakika Wananchi kuwa ataendelea kuitumikia Yanga msimu ujao

"Kwa nini unataka mimi niwe mfungaji bora msimu ujao? Mimi ahadi yangu, nina matumaini straika wa Yanga atakuwa mfungaji bora msimu ujao Mungu akipenda, lakini sio Aziz, sahau kuhusu Aziz, mimi nitatoa asisti na siyo kuwa mfungaji bora"

"Nafahamu Dube (Prince) anakuja na Guede(Joseph) yupo mimi ni kiungo, nitafanya kila liwezekanalo kuhakikisha wanakuwa wafungaji bora. Mimi ni kiungo kwa nini niwanie ufungaji bora, kwa nini ununue straika halafu utake kiungo awe mfungaji bora?” alihoji Aziz Ki na kuongeza

Kauli ya Aziz Ki pia inathibitisha kuwa pengine ni suala la muda tu, Yanga itamtambulisha mshambuliaji wa zamani wa Azam Fc Prince Dube kuwa ni Mwananchi

Dube aliikacha Azam Fc katikati ya msimu uliopita akihitaji changamoto mpya

BONYEZA HAPA KUTAZAMA VIDEO ZA WAKUBWA UJIFUNZE MAUTUNDU YA CHUMBANI



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz