Taarifa Mpya kuhusu mashindano ya Cecafa Kagame Cup 2024 - EDUSPORTSTZ

Latest

Taarifa Mpya kuhusu mashindano ya Cecafa Kagame Cup 2024

Leo ndio leo ni ZAMBIA vs TANZANIA usikose kuitazama mechi hii live kabisa bure kwenye simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayorusha mechi hii live buree pia ndani ya app hii kuna muvi zilizo tafsiriwa kwa kiswahili na chanel za azam tv na Dstv bofya sasa kuidownload bure

Michuano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup) inatarajiwa kuanza Julai 06 na kumalizika Julai 22 jijini Dar es salaam na Zanzibar

Taarifa iliyotolewa CECAFA imebainisha kuwa michuano hiyo imerudishwa nyuma ili kwendana na kalenda ya mashindano ya CAF inayotarajiwa kuanza mwezi August

Aidha klabu za TP Mazembe (DR Congo), Red Arrows (Zambia) na Nyasa Big Bullets (Malawi) zimethibitisha kushiriki baada mwaliko wa CECAFA

Mabingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara ambao ni Yanga, Azam fc iliyoshika nafasi ya pili, Simba na Coastal Union zilizoshika nafasi ya tatu na nne ni miongoni mwa klabu zitakazoshiriki michuano hiyo inayorejea baada ya kutofanyika kwa misimu miwili

Timu nyingine ni Vital 'O, APR FC, El Merreikh, Al Hilal, Hai El Wadi, Gor Mahia FC, SC Villa, JKU SC na El Merreikh FC-Bentiu

BONYEZA HAPA KUTAZAMA VIDEO ZA WAKUBWA UJIFUNZE MAUTUNDU YA CHUMBANI



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz