VAR kutumika Ligi Kuu Bara msimu ujao - EDUSPORTSTZ

Latest

VAR kutumika Ligi Kuu Bara msimu ujao

VAR kutumika Ligi Kuu Bara msimu ujao

Bonyeza hapa kudownload app itakayokuwezesha kutazama chanel za azam tv na dstv buree pia ukiwa na app hii utaweza kutazama muvi zilizo tafsiriwa kwa kiswahili pamoja mechi zote live buree bofya sasa kudownload

Ofisa mtendaji mkuu wa wa bodi ya ligi kuu, Almas Kasongo kwenye SportsXtra leo amesema msimu ujao 2024/25 Video Assistant Referee (VAR) itatumika ligi kuu.

Ofisa mtendaji mkuu wa wa bodi ya ligi kuu, Almas Kasongo kwenye SportsXtra leo amesema msimu ujao 2024/25 Video Assistant Referee (VAR) itatumika ligi kuu. Kasongo amesema, mfumo wa (VAR) utafungwa kwenye baadhi ya viwanja vinavyokidhi vigezo nchini Tanzania.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz