Simba, Yanga zaonywa usajili 2024-25 - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba, Yanga zaonywa usajili 2024-25

Simba, Yanga zaonywa usajili 2024-25

Leo ndio leo ni ZAMBIA vs TANZANIA usikose kuitazama mechi hii live kabisa bure kwenye simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayorusha mechi hii live buree pia ndani ya app hii kuna muvi zilizo tafsiriwa kwa kiswahili na chanel za azam tv na Dstv bofya sasa kuidownload bure

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospital ya Taifa Muhimbili Prof. Mohamed Janabi amewataka viongozi wa timu za Simba SC, Yanga SC na Azam FC kuwapekeka hospital wachezaji inaowasajili ili kuepuka gharama ya kutibia wachezaji.

Prof. Janabi ambaye yuko katika Kamati ya AFCON 2024 Kitengo cha Tiba amesema kuna umuhimu wa kuwafanyia vipimo wachezaji kabla ya kuwasajili ndani ya timu hizo.

“Klabu hizo ndiyo zina uwezo wa kununua mchezaji hadi Dola Laki Moja, hivyo ni muhimu kabla hawajasaini nao mikataba wawalete tuwapime. Kuna wachezaji wamesajiliwa kwa gharama kubwa na hawajacheza hata mechi moja, sitaki kutaja majina yao," alisema Pr. Janabi.

BONYEZA HAPA KUTAZAMA VIDEO ZA WAKUBWA UJIFUNZE MAUTUNDU YA CHUMBANI



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz