Mtatizo ya Yanga yanafichwa na matokeo yao - Tunda Man - EDUSPORTSTZ

Latest

Mtatizo ya Yanga yanafichwa na matokeo yao - Tunda Man

Mtatizo ya Yanga yanafichwa na matokeo yao - Tunda Man

Leo ndio leo ni ZAMBIA vs TANZANIA usikose kuitazama mechi hii live kabisa bure kwenye simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayorusha mechi hii live buree pia ndani ya app hii kuna muvi zilizo tafsiriwa kwa kiswahili na chanel za azam tv na Dstv bofya sasa kuidownload bure

Msanii wa Bongo Fleva na mwanachama wa Simba SC, Tunda Man amesema timu yao inapitia kipindi kigumu kwenye uwanja na ndio maana kila mtu anazungumza lake.

Amesema hata Yanga, wanaweza kuwa na matatizo lakini hayawezi kuonekana kirahisi kwa sababu wanapata matokeo uwanjani.

"Leo huwezi kuona Yanga wana tatizo hilo kwa sababu ya matokeo ambayo wanayapata kwenye pitch (uwanjani).

"Leo hata kama Yanga kuna tatizo limejificha lipo wazi na mtu analiona shabiki hawezi kuliongea kwa sasa hivi kwa sababu anajua timu inafanya vizuri. Kwa sababu 51% sisi mashabiki tunataka furaha tu. Hadi Leo nimekuwa mawanachama wa Simba nalipia Simba, nanunua jezi, naingia uwanjani kwa sababu nataka furaha" alisema Tunda Man.

BONYEZA HAPA KUTAZAMA VIDEO ZA WAKUBWA UJIFUNZE MAUTUNDU YA CHUMBANI



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz