Jonas Mkude amalizana na Yanga - EDUSPORTSTZ

Latest

Jonas Mkude amalizana na Yanga

Jonas Mkude

Michuano ya EURO 2024 inaanza muda si mrefu usikose kutazama live mechi zote bure kabisa bonyeza hapa kudownload app itakayoonesha mechi zote live bure pia ukiwa na app hii utaweza kutazama muvi zilizo tafsiriwa kwa kiswahili pia utaweza kutazama chanel za azam tv na dstv buree kabisa bofya sasa kudownload

Kiungo wa klabu ya Yanga Jonas Mkude amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kuitumikia klabu ya Yanga sc.

Moja ya sajili ambayo ilitikisa nchi ni hii ya Jonas mkude Nungunungu baadhi ya mashabiki wa Yanga waliisifia hii sajili lakini wengine nikama walikua hawana Imani nae.

Wengi walizani mkude huenda akawa msaliti kwamba atatoa mbinu za vita na kuzirudisha upande wapili imekua tofauti mwamba kafanya kazi iliyo tukuka.

Kama kuwa mnaizingatia shangilia yake mkude Huwa anainua mikono miwili juu na uipishanisha ishara ya "X" inaama kwamba amefunga pingu za maisha hawezi kuwasaliti Wananchii.

BONYEZA HAPA KUANGALIA VIDEO ZA XX ( WAKUBWA ) UJIFUNZE MAUTUNDU



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz