Ni kesho michuoano ya UEFA EURO CHAMPIONS inaanza usikose kuzitazama mechi zote LIVE bure kwenye simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayoonesha mechi zote live bure pia kwenye app hii utaweza kuangalia muvi zilizotafsiriwa kwa kiswahili pamoja na chanel za Azam tv na Dstv buree bofya sasa kudownload
Baada ya kimya kirefu msemaji wa Klabu ya Simba Ahmed Ally (Semaji), ameamua kuvunja ukimya, akiwaasa wanasimba kuwa makini na taarifa za mitandaoni.
"Wana Simba tuwe makini na taarifa za mitandaoni zenye lengo la kuzua taharuki ndani ya klabu yetu na kutugombanisha baina yetu"
"Muhimu hivi sasa ni kusimama pamoja na timu yetu na kuwapa ushirikiano viongozi wetu ili wasimamie kwa ufanisi zoezi la usajili na kuandaa timu bora kwa msimu ujao"
BONYEZA HAPA KUANGALIA VIDEO ZA WAKUBWA UJIFUNZE MAUTUNDU
Download our APP from Google Playstore using the link here>>>
Join Our Telegram Channel for Daily Updates
CLICK HERE
No comments:
Post a Comment