Wakala wa Aziz KI atua Bongo, kuna jambo gani? - EDUSPORTSTZ

Latest

Wakala wa Aziz KI atua Bongo, kuna jambo gani?

Wakala wa Aziz KI atua Bongo, kuna jambo gani?

Ni jumapili hii Yanga vs Azam fc fainali ya kombe la shirikisho unaanzaje kukosa kuitazama mechi hii live bureee bonyeza hapa kisha bofya picha yenye neno download app yetu ili kuangalia mechi hii live buree kabisa unakosaje kwa mfano bofya sasa


Wakala na msimamizi wa kampuni ya usimamizi wa michezo ya Zambro Sports Management, Zambro Traore yupo nchini Tanzania kwaajili ya matukio mawili muhimu.

Tukio la kwanza ni kuhudhuria fainali ya kombe la shirikisho la CRDB kati ya Yanga na Azam ambapo wachezaji anaowasimamia watatu Yao Kwai, Pacome Zouzoa na Stephanie Aziz Ki watashuka dimbani na uzi wa Yanga.

Tukio lingine ni kuhusu kujadiliana na klabu ya Yanga juu ya mkatabna mpya wa Stephanie Aziz Ki baada ya mkataba wake wa awali kufikia tamati mwishoni mwa msimu huu.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz