Upepo wabadilika, Chama njia nyeupe kukipiga na Aziz KI Jangwani - EDUSPORTSTZ

Latest

Upepo wabadilika, Chama njia nyeupe kukipiga na Aziz KI Jangwani

Clatous Chama

Ni kesho kutwa YANGA vs AZAM FC fainali ya kombe la CRDB FEDERATION CUP usikose kuitazama mechi hii live buree kabisa kwenye simu yako bonyeza hapa kujiunga na group letu la telegram uweze kupewa app yenye chanel za azam tv zote na dstv bureee kabisa

Kwa Mujibu wa mChambuzi wa Michezo Hansrafael ameandika,

"Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba, Salim Abdallah "Try again" alitaka kumbakisha Chama,ila Rais wa heshima wa Klabu hiyo, Mo Dewj hayuko tayari kubaki na Chama,badala yake amemwambia Try again kama unataka kumbakisha Mwamba wa Lusaka Signing fee yake (Ada ya kusaini) utatoa wewe kitu ambacho Try Again hayuko tayari kufanya.

Mo anahitaji sura mpya na damu changa ila Try Againanahisi Chama bado ana miaka miwili ya kuitumikia Simba.

Upande mwingine Chama tayari amekubaliana kila kitu na Yanga,kuanzia ada ya kusaini (Signing fee), bonus, Mshahara,makazi na usafiri….kinacho subiriwa ni kumwaga wino pale mkataba wake utakapomalizika na Simba.


Narudia tena msimu ujao Chama na Pacome watacheza timu moja".



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz