Mourinho Kocha mpya Timu ya Mbwana Samatta - EDUSPORTSTZ

Latest

Mourinho Kocha mpya Timu ya Mbwana Samatta

Jose Mourinho

Ni kesho kutwa YANGA vs AZAM FC fainali ya kombe la CRDB FEDERATION CUP usikose kuitazama mechi hii live buree kabisa kwenye simu yako bonyeza hapa kujiunga na group letu la telegram uweze kupewa app yenye chanel za azam tv zote na dstv bureee kabisa

Kocha José Mourinho ameingia mkataba wa miaka miwili na klabu ya Fenerbahce ya Uturuki aliyowahi kucheza nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta.

Kocha José Mourinho ameingia mkataba wa miaka miwili na klabu ya Fenerbahce ya Uturuki aliyowahi kucheza nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta. Kocha huyo aliyeachana na AS Roma ya Italia katikati ya msimu uliopita atajiunga na kikosi hicho cha Mabaharia wa Uturuki katika maandalizi ya msimu mpya.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz