Tetesi: Mzamiru Yassin kuondoka Simba - EDUSPORTSTZ

Latest

Tetesi: Mzamiru Yassin kuondoka Simba

Mzamiru Yassin

Leo ni leo tena wananchi hawanaga dogo ni Yanga vs Tabora united je watampiga mtu 5G usikose kuitazama mechi hii live bure kabisa kupitia simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayo kuwezesha kuitazama mechi hii live buree kabisa

Kiungo wa Simba SC, Mzamiru Yassin huenda msimu huu 2023- 2024 ukawa wa mwisho kwake kuonekana katika kikosi Simba SC kutokana na uongozi kutoridhishwa na kiwango chake kwa hivi sasa.

Mzamiru ambaye ni mchezaji mkongwe ndani ya Yanga, mkataba wake unatarajiwa kutamatika mwishoni mwa msimu huu na amekuwa mchezaji ambaye hapewi nafasi ya kuanza mara kwa mara kama ilivyokuwa msimu uliopita.

Je unaliona pengo la Mzamiru Simba SC?



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz