Simba yatua kwa mwamba huyu - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba yatua kwa mwamba huyu

Mohamed Damaro Camara.

Ni Simba vs Tabora united leo usikose kuitazama mechi hii live buree kabisa kupitia simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayorusha mechi hii live bureee

Klabu ya Simba SC wametua kwenye Klabu ya Hafia SC kwa ajili ya kuhitaji saini ya viungo wawili Mohamed Damaro Camara (21) na Ousmane Fernandez Drame (23).

Klabu ya Simba SC wametua kwenye Klabu ya Hafia SC kwa ajili ya kuhitaji saini ya viungo wawili Mohamed Damaro Camara (21) na Ousmane Fernandez Drame (23). Taarifa kutoka Simba zinaeleza kuwa, hilo ni chaguo la kwanza la usajili msimu huu kwa ajili ya kuziba nafasi za Fabrice Ngoma na Sadio Kanoute ambao inasemekana wataachana na Simba mwishoni mwa msimu huu.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz