Simba yamweka sokoni Willy Onana - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba yamweka sokoni Willy Onana

Simba yamweka sokoni Willy Onana

Kesho ni Simba vs Mtibwa sugar je mnyama atamaliza hasira zake usikose kuitazama mechi hii live buree kabisa kupitia simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayorusha mechi hii live bureee kabisa bofya sasa

Klabu ya Simba SC inataka si chini ya dola $100,000 (sawa na zaidi ya Tsh milioni 250) kwa kiungo mshambuliaji raia wa Cameroon, Willy Essomba Onana ili kumwachia katika dirisha lijalo la usajili.

Klabu ya Simba SC inataka si chini ya dola $100,000 (sawa na zaidi ya Tsh milioni 250) kwa kiungo mshambuliaji raia wa Cameroon, Willy Essomba Onana ili kumwachia katika dirisha lijalo la usajili. Taarifa kutoka ndani ya Simba Sc zinaeleza kuwa, APR FC, Js Kabylie, Supersport na Al Ahly Tripoli zote zimeonyeshwa nia ya kutaka huduma ya vijana hao.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz